Watchtower ONLINE LIBRARY
Watchtower
ONLINE LIBRARY
Kĩmĩĩrũ
  • BIBLE
  • PUBLICATIONS
  • MEETINGS

Footnote

a Kwa sababu ya kutokamilika, huenda tukafanya au kusema jambo linaloweza kuwaumiza ndugu na dada zetu. Tunapaswa kufanya nini hilo likitokea? Je, tutajitahidi kurudisha uhusiano wetu na ndugu na dada zetu? Je, tutakuwa tayari kuomba msamaha haraka? Au je, tunasema ikiwa wameumia hilo ni tatizo lao, si letu? Au namna gani ikiwa mara kwa mara tunakasirishwa na maneno au matendo ya wengine? Je, tunatoa kisingizio kwamba hivyo ndivyo tulivyo​—huo ndio utu wetu? Au je, tunaona njia yetu ya kushughulikia hali hiyo kuwa udhaifu ambao tunahitaji kuufanyia kazi?

Mauku ja Kĩmĩĩrũ (2012-2025)
Log Out
Log In
  • Kĩmĩĩrũ
  • Share
  • Preferences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Privacy Settings
  • JW.ORG
  • Log In
Share