Watchtower ONLINE LIBRARY
Watchtower
ONLINE LIBRARY
Kĩmĩĩrũ
  • BIBLE
  • PUBLICATIONS
  • MEETINGS

Footnote

a Ili familia iwe na furaha, ni lazima kila mshiriki ajue mambo anayotarajiwa kufanya na ni lazima ashirikiane vizuri na wengine katika familia. Kwa upendo, baba anaiongoza familia, mama anamuunga mkono, na watoto wanawatii wazazi wao. Ndivyo ilivyo na familia ya Yehova. Mungu wetu ana kusudi zuri kwa ajili yetu, na ikiwa tutaunga mkono kusudi hilo, tutakuwa sehemu ya familia ya waabudu wake milele.

Mauku ja Kĩmĩĩrũ (2012-2025)
Log Out
Log In
  • Kĩmĩĩrũ
  • Share
  • Preferences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Privacy Settings
  • JW.ORG
  • Log In
Share