Watchtower ONLINE LIBRARY
Watchtower
ONLINE LIBRARY
Kĩmĩĩrũ
  • BIBLE
  • PUBLICATIONS
  • MEETINGS

Footnote

a Je, umewahi kumsikia mtumishi wa Yehova wa miaka mingi akisema, ‘Sikuwahi kutarajia kwamba katika umri wangu bado ningekuwa ninaishi katika mfumo huu wa mambo’? Sote tunatamani kuona Yehova akikomesha mfumo huu wa mambo, hasa katika nyakati hizi ngumu. Hata hivyo, ni lazima tujifunze kuwa na subira. Katika makala hii, tutachunguza kanuni za Biblia zitakazotusaidia kuwa na mtazamo wa kungojea. Pia, tutachunguza maeneo mawili ambayo ni lazima tumngojee Yehova kwa subira. Mwishowe tutachunguza baraka watakazopata wale walio tayari kumngojea Yehova.

Mauku ja Kĩmĩĩrũ (2012-2025)
Log Out
Log In
  • Kĩmĩĩrũ
  • Share
  • Preferences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Privacy Settings
  • JW.ORG
  • Log In
Share