Watchtower ONLINE LIBRARY
Watchtower
ONLINE LIBRARY
Kĩmĩĩrũ
  • BIBLE
  • PUBLICATIONS
  • MEETINGS

Footnote

a Yehova alimpatia nabii Zekaria mfululizo wa maono yenye kusisimua. Mambo ambayo Zekaria aliona yalimpa yeye na watu wa Yehova nguvu za kushinda changamoto walizokabiliana nazo, walipokuwa wakipambana ili kurudisha upya ibada safi. Maono hayo yanaweza kutusaidia sisi pia kumtumikia Yehova kwa uaminifu licha ya changamoto tunazokabili. Katika makala hii, tutazungumzia masomo muhimu tunayoweza kujifunza kutokana na maono ambayo Zekaria aliona yaliyohusisha kinara cha taa na mizeituni.

Mauku ja Kĩmĩĩrũ (2012-2025)
Log Out
Log In
  • Kĩmĩĩrũ
  • Share
  • Preferences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Privacy Settings
  • JW.ORG
  • Log In
Share