Watchtower ONLINE LIBRARY
Watchtower
ONLINE LIBRARY
Kĩmĩĩrũ
  • BIBLE
  • PUBLICATIONS
  • MEETINGS

Footnote

a Timotheo alikuwa mhudumu wa habari njema mwenye uzoefu mwingi. Hata hivyo, mtume Paulo alimtia moyo azidi kufanya maendeleo ya kiroho. Kwa kufuata shauri la Paulo, Timotheo angetumiwa zaidi na Yehova na angewasaidia zaidi ndugu na dada zake. Je, kama Timotheo, unatamani kumtumikia Yehova na waabudu wenzako kikamili zaidi? Bila shaka, ungependa kufanya hivyo. Ni malengo gani yatakayokusaidia kufanya hivyo? Na ni mambo gani yanayohusika katika kujiwekea na kutimiza malengo hayo?

Mauku ja Kĩmĩĩrũ (2012-2025)
Log Out
Log In
  • Kĩmĩĩrũ
  • Share
  • Preferences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Privacy Settings
  • JW.ORG
  • Log In
Share