Watchtower ONLINE LIBRARY
Watchtower
ONLINE LIBRARY
Kĩmĩĩrũ
  • BIBLE
  • PUBLICATIONS
  • MEETINGS

Footnote

a Sulemani na Yesu walikuwa na hekima nyingi sana. Chanzo cha hekima hiyo ni Yehova Mungu. Katika makala hii, tutaona mambo tunayoweza kujifunza kutokana na ushauri wa Sulemani na Yesu ulioongozwa na roho ya Mungu kuhusu kuwa na maoni yaliyosawazika inapohusu pesa, kazi ya kimwili, na kujihusu sisi wenyewe. Pia, tutaona jinsi baadhi ya waamini wenzetu walivyonufaika kwa kutumia kwa hekima ushauri unaotegemea Biblia katika maeneo hayo.

Mauku ja Kĩmĩĩrũ (2012-2025)
Log Out
Log In
  • Kĩmĩĩrũ
  • Share
  • Preferences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Privacy Settings
  • JW.ORG
  • Log In
Share