Watchtower ONLINE LIBRARY
Watchtower
ONLINE LIBRARY
Kĩmĩĩrũ
  • BIBLE
  • PUBLICATIONS
  • MEETINGS

Footnote

a Tunapomfikiria mtu aliyevumilia majaribu makali, mara nyingi tunamwazia Ayubu. Tunaweza kujifunza nini kutokana na mambo ambayo mwanamume huyo mwaminifu alipitia? Tunajifunza kwamba Shetani hawezi kutulazimisha tumwache Yehova. Tunajifunza pia kwamba sikuzote Yehova anajua kila hali tunayopitia. Kama tu Yehova alivyokomesha majaribu ya Ayubu, siku moja ataondoa mateso yetu yote. Ikiwa tunaonyesha kwa matendo yetu kwamba tunasadiki kabisa ukweli huo, tutakuwa miongoni mwa wale ambao kwa kweli ‘wanamtumaini Yehova.’

Mauku ja Kĩmĩĩrũ (2012-2025)
Log Out
Log In
  • Kĩmĩĩrũ
  • Share
  • Preferences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Privacy Settings
  • JW.ORG
  • Log In
Share