Watchtower ONLINE LIBRARY
Watchtower
ONLINE LIBRARY
Kĩmĩĩrũ
  • BIBLE
  • PUBLICATIONS
  • MEETINGS

Footnote

a Leo, vijana wanaomtumikia Yehova wanakabili changamoto ambazo zinajaribu ujasiri na ushikamanifu wao kwa Yehova. Huenda wanafunzi wenzao wakawadhihaki kwa sababu wanaamini uumbaji. Au huenda vijana wenzao wakajaribu kuwafanya wajione kuwa wapumbavu kwa sababu wanamtumikia Mungu na kuishi kulingana na viwango vyake. Lakini kama tutakavyoona kwenye makala hii, wale wanaomwiga nabii Danieli na kumtumikia Yehova kwa ujasiri na ushikamanifu, kwa kweli ni wenye hekima.

Mauku ja Kĩmĩĩrũ (2012-2025)
Log Out
Log In
  • Kĩmĩĩrũ
  • Share
  • Preferences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Privacy Settings
  • JW.ORG
  • Log In
Share