Watchtower ONLINE LIBRARY
Watchtower
ONLINE LIBRARY
Kĩmĩĩrũ
  • BIBLE
  • PUBLICATIONS
  • MEETINGS

Footnote

b Inawezekana kwamba Danieli alikuwa na sababu tatu zilizomfanya aone chakula cha Wababiloni kuwa kisicho safi: (1) Huenda walikula nyama ya wanyama waliokatazwa kwenye Sheria. (Kum. 14:7, 8) (2) Huenda nyama hiyo haikutolewa damu vizuri. (Law. 17:10-12) (3) Huenda kula chakula hicho kungeonwa kuwa kushiriki ibada ya miungu ya uwongo.​—Linganisha Mambo ya Walawi 7:15 na 1 Wakorintho 10:18, 21, 22.

Mauku ja Kĩmĩĩrũ (2012-2025)
Log Out
Log In
  • Kĩmĩĩrũ
  • Share
  • Preferences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Privacy Settings
  • JW.ORG
  • Log In
Share