Watchtower ONLINE LIBRARY
Watchtower
ONLINE LIBRARY
Kĩmĩĩrũ
  • BIBLE
  • PUBLICATIONS
  • MEETINGS

Footnote

d Mfalme Asa alitenda dhambi nzito. (2 Nya. 16:​7, 10) Hata hivyo, Biblia inasema Asa alifanya mambo yaliyo sawa machoni pa Yehova. Ingawa mwanzoni alikataa kurekebishwa, inawezekana kwamba baadaye alitubu. Kwa ujumla, sifa zake nzuri zilikuwa nyingi kuliko mambo mabaya aliyofanya. Jambo muhimu ni kwamba Asa alimwabudu tu Yehova na alijitahidi kuondoa ibada ya sanamu katika ufalme wake.—1 Fal. 15:​11-13; 2 Nya. 14:​2-5.

Mauku ja Kĩmĩĩrũ (2012-2025)
Log Out
Log In
  • Kĩmĩĩrũ
  • Share
  • Preferences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Privacy Settings
  • JW.ORG
  • Log In
Share