Zaburi
Ya Daudi.
א [ʼAʹleph]
37 Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya watenda-maovu.+
Usiwaonee wivu wale wanaofanya mambo yasiyo ya uadilifu.+
ב [Behth]
ג [Giʹmel]
ד [Daʹleth]
Na kumngojea kwa kutamani.+
Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+
Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+
ה [Heʼ]
9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+
Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+
ו [Waw]
10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+
Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+
ז [Zaʹyin]
ח [Chehth]
14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+
Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+
Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+
ט [Tehth]
י [Yohdh]
18 Yehova anazijua siku za watu wasio na kosa,+
Nao urithi wao wenyewe utaendelea mpaka wakati usio na kipimo.+
כ [Kaph]
20 Kwa maana waovu wataangamia,+
Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;
Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+
ל [Laʹmedh]
22 Kwa maana wale wanaobarikiwa naye wataimiliki dunia,+
Lakini wale anaowalaani watakatiliwa mbali.+
מ [Mem]
נ [Nun]
25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+
Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+
Wala uzao wake ukitafuta mkate.+
ס [Saʹmekh]
27 Geuka mbali kutoka kwa mambo mabaya na ufanye yaliyo mema,+
Na hivyo ukae mpaka wakati usio na kipimo.+
ע [ʽAʹyin]
Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+
Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+
פ [Peʼ]
30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+
Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+
צ [Tsa·dhehʹ]
ק [Qohph]
34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+
Naye atakuinua uimiliki dunia.+
Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+
ר [Rehsh]
35 Nimemwona mwovu akiwa mwonevu+
Na akijitandaza kama mti wenye majani mengi katika udongo wa asili.+
ש [Shin]
37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+
Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+
38 Lakini wakosaji hakika wataangamizwa pamoja;+
Wakati ujao wa watu waovu hakika utakatiliwa mbali.+
ת [Taw]