22 Enyi watumwa, watiini katika kila jambo wale ambao ni mabwana zenu katika maana ya kimwili,+ si kwa matendo ya utumishi wa macho, kama wenye kupendeza wanadamu,+ bali kwa unyoofu wa moyo, kwa kumwogopa Yehova.+
18 Watumishi wa nyumbani na wajitiishe+ kwa mabwana wao kwa woga unaofaa,+ si kwa wale walio wema tu na wapole, bali pia kwa wale ambao ni wagumu kupendeza.