Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 123:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+

      Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+

      Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+

      Mpaka atuonyeshe kibali.+

  • Wakolosai 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Enyi watumwa, watiini katika kila jambo wale ambao ni mabwana zenu katika maana ya kimwili,+ si kwa matendo ya utumishi wa macho, kama wenye kupendeza wanadamu,+ bali kwa unyoofu wa moyo, kwa kumwogopa Yehova.+

  • 1 Petro 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Watumishi wa nyumbani na wajitiishe+ kwa mabwana wao kwa woga unaofaa,+ si kwa wale walio wema tu na wapole, bali pia kwa wale ambao ni wagumu kupendeza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki