22 Walipopanda kuingia Negebu,+ ndipo wakafika Hebroni.+ Sasa Ahimani, Sheshai na Talmai,+ wale waliozaliwa kwa Anaki+ walikuwa huko. Hebroni+ lilikuwa limejengwa miaka saba kabla ya Soani+ la Misri.
19 Nao watamiliki Negebu, eneo lenye milima la Esau,+ na Shefela, ya Wafilisti.+ Nao watamiliki shamba la Efraimu+ na shamba la Samaria;+ na Benyamini atamiliki Gileadi.+