Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baadaye Abramu akavunja kambi, wakati huo akienda kutoka kambi mpaka kambi kuelekea Negebu.+

  • Mwanzo 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Sasa Abrahamu akahamisha kambi kutoka huko+ mpaka nchi ya Negebu na kuanza kukaa katikati ya Kadeshi+ na Shuri+ na kukaa akiwa mgeni Gerari.+

  • Hesabu 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Walipopanda kuingia Negebu,+ ndipo wakafika Hebroni.+ Sasa Ahimani, Sheshai na Talmai,+ wale waliozaliwa kwa Anaki+ walikuwa huko. Hebroni+ lilikuwa limejengwa miaka saba kabla ya Soani+ la Misri.

  • Waamuzi 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baadaye wana wa Yuda wakashuka kupigana na Wakanaani waliokaa katika eneo lenye milima na Negebu+ na Shefela.+

  • 2 Samweli 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo wakafika kwenye ngome ya Tiro+ na majiji yote ya Wahivi+ na ya Wakanaani, nao wakafika ncha ya mwisho katika Negebu+ ya Yuda kule Beer-sheba.+

  • Obadia 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao watamiliki Negebu, eneo lenye milima la Esau,+ na Shefela, ya Wafilisti.+ Nao watamiliki shamba la Efraimu+ na shamba la Samaria;+ na Benyamini atamiliki Gileadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki