9 kwamba apate kunipa pango la Makpela,+ ambalo ni lake, lililo mwisho wa shamba lake. Na anipe hilo kati yenu kwa kiwango kamili cha fedha liwe mahali pangu pa kuzikia.”+
30 katika pango lililo katika shamba la Makpela mbele ya Mamre katika nchi ya Kanaani, shamba ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa Efroni Mhiti awe na mahali pa kuzikia.+