54 Na haya ndiyo yaliyokuwa makao yao kulingana na kambi zao zilizozungushiwa ukuta katika eneo lao,+ kwa ajili ya wana wa Haruni wa familia ya Wakohathi,+ kwa maana kura ilikuwa imekuwa yao.
16 Basi watu wakaenda na kuleta majani hayo na kujijengea vibanda, kila mmoja juu ya paa+ yake mwenyewe na katika nyua zao na katika nyua+ za nyumba ya Mungu wa kweli na katika kiwanja cha watu wote+ cha Lango la Maji+ na katika kiwanja cha watu wote cha Lango la Efraimu.+