Mwanzo 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye Yakobo akamwambia Rebeka mama yake: “Lakini Esau ndugu yangu ni mwanamume mwenye nywele nyingi mwilini nami ni mwanamume mwenye ngozi laini.+ 2 Wafalme 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi wakamwambia: “Alikuwa mtu mwenye vazi la manyoya,+ na mshipi wa ngozi umefungwa kiunoni mwake.”+ Mara moja akasema: “Alikuwa Eliya, Mtishbi.” Zekaria 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba manabii wataona aibu,+ kila mmoja kwa sababu ya maono yake anapotoa unabii; nao hawatavaa vazi rasmi la manyoya+ kwa kusudi la kudanganya.
11 Naye Yakobo akamwambia Rebeka mama yake: “Lakini Esau ndugu yangu ni mwanamume mwenye nywele nyingi mwilini nami ni mwanamume mwenye ngozi laini.+
8 Basi wakamwambia: “Alikuwa mtu mwenye vazi la manyoya,+ na mshipi wa ngozi umefungwa kiunoni mwake.”+ Mara moja akasema: “Alikuwa Eliya, Mtishbi.”
4 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba manabii wataona aibu,+ kila mmoja kwa sababu ya maono yake anapotoa unabii; nao hawatavaa vazi rasmi la manyoya+ kwa kusudi la kudanganya.