9 Kisha Abimeleki akamwita Abrahamu na kumwambia: “Umetutendea nini, na ni dhambi gani nimekutendea, hata ukaleta juu yangu na ufalme wangu dhambi kubwa?+ Matendo ambayo hayakupaswa kutendwa, wewe umetenda kuhusiana nami.”+
9 Hakuna yeyote aliye mkubwa zaidi yangu katika nyumba hii, naye hakunizuilia chochote ila wewe, kwa sababu wewe ni mke wake.+ Basi ninawezaje kufanya ubaya huu mkubwa na kwa kweli nimtendee Mungu dhambi?”+