Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha Abimeleki akamwita Abrahamu na kumwambia: “Umetutendea nini, na ni dhambi gani nimekutendea, hata ukaleta juu yangu na ufalme wangu dhambi kubwa?+ Matendo ambayo hayakupaswa kutendwa, wewe umetenda kuhusiana nami.”+

  • Mwanzo 39:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hakuna yeyote aliye mkubwa zaidi yangu katika nyumba hii, naye hakunizuilia chochote ila wewe, kwa sababu wewe ni mke wake.+ Basi ninawezaje kufanya ubaya huu mkubwa na kwa kweli nimtendee Mungu dhambi?”+

  • Methali 6:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ndivyo ilivyo kwa yule anayelala na mke wa mwenzake,+ mtu anayemgusa hatakosa kuadhibiwa.+

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki