Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ndugu zake wakaanza kumwonea wivu,+ lakini baba yake akayatia moyoni maneno hayo.+

  • 1 Samweli 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Sauli akawa akimtilia Daudi shaka tangu siku hiyo na kuendelea.+

  • Methali 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+

  • Waroma 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 wakiwa wamejawa na ukosefu wote wa uadilifu,+ uovu,+ tamaa,+ ubaya,+ wakiwa wamejaa wivu,+ uuaji,+ mizozo,+ udanganyifu,+ mwelekeo wenye madhara,+ wakiwa wanong’onezaji,+

  • Tito 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana hata sisi wakati mmoja tulikuwa watu wasio na akili, wasiotii, tukipotoshwa, tukiwa watumwa wa tamaa na raha za namna mbalimbali, tukiendelea katika ubaya na wivu, wenye kuchukiza, tukichukiana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki