Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sasa ikawa wakati huo kwamba Abimeleki pamoja na Fikoli mkuu wa jeshi lake wakamwambia Abrahamu: “Mungu yuko pamoja nawe katika kila jambo unalofanya.+

  • Mwanzo 39:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ikawa kwamba tangu alipomweka asimamie nyumba yake na vyote vilivyokuwa vyake, Yehova akazidi kuibariki nyumba ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu, na Yehova akabariki vitu vyote alivyokuwa navyo nyumbani na shambani.+

  • Yoshua 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Leo nitaanza kukufanya uwe mkuu machoni pa Israeli wote,+ ili wajue kwamba nitakuwa pamoja nawe+ kama vile nilivyokuwa pamoja na Musa.+

  • Zekaria 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Na itakuwa katika siku hizo kwamba watu kumi kutoka katika lugha zote za mataifa+ watashika,+ ndiyo, wataushika upindo wa nguo ya mtu aliye Myahudi,+ wakisema: “Tutakwenda pamoja nanyi,+ kwa maana tumesikia ya kuwa Mungu yupo pamoja nanyi.” ’ ”+

  • 1 Wakorintho 14:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 siri za moyo wake hufunuliwa,+ hivi kwamba ataanguka kifudifudi na kumwabudu Mungu, akitangaza: “Kwa kweli Mungu yupo katikati yenu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki