3 Lakini akawasisitizia sana,+ basi wakageuka na kuingia kwake, wakaingia ndani ya nyumba yake. Kisha akawafanyia karamu,+ akaoka keki zisizo na chachu,+ nao wakala.
23 Basi akawaandalia karamu kubwa; nao wakaanza kula na kunywa, kisha akawaacha, wakaenda zao kwa bwana wao. Na vikundi vya waporaji vya Wasiria havikurudi+ tena hata mara moja katika nchi ya Israeli.