Mwanzo 27:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Nimekuja kuyachukia sana haya maisha yangu kwa sababu ya binti za Hethi.+ Yakobo akichukua mke kutoka kwa binti za Hethi kama hawa kutoka kwa binti za hii nchi, basi maisha yana faida gani kwangu?”+ Mwanzo 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 ndipo Esau akaona kwamba binti za Kanaani walikuwa wasiopendeza machoni pa Isaka baba yake.+
46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Nimekuja kuyachukia sana haya maisha yangu kwa sababu ya binti za Hethi.+ Yakobo akichukua mke kutoka kwa binti za Hethi kama hawa kutoka kwa binti za hii nchi, basi maisha yana faida gani kwangu?”+