1 Samweli 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Sauli akamwambia Samweli: “Nimetenda dhambi;+ kwa kuwa nimevunja agizo la Yehova na maneno yako, kwa sababu niliwaogopa watu+ na kwa hiyo nikaitii sauti yao. Yakobo 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini kila mtu hujaribiwa kwa kuvutwa na kushawishiwa na tamaa yake mwenyewe.+
24 Ndipo Sauli akamwambia Samweli: “Nimetenda dhambi;+ kwa kuwa nimevunja agizo la Yehova na maneno yako, kwa sababu niliwaogopa watu+ na kwa hiyo nikaitii sauti yao.