Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 24:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa hiyo bwana wangu aliniapisha, akisema, ‘Usimchukulie mwanangu mke kutoka kwa binti za Wakanaani ambao ninakaa katika nchi yao.+

  • Kutoka 34:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 usije ukafanya agano na wakaaji wa nchi hiyo, kwa maana hakika watafanya uasherati na miungu+ yao na kutolea miungu yao dhabihu,+ na mtu fulani hakika atakualika, nawe hakika utakula sehemu ya dhabihu yake.+

  • 1 Wafalme 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Mfalme Sulemani akawapenda wake+ wengi wageni pamoja na binti ya Farao,+ wanawake Wamoabu,+ Waamoni,+ Waedomu,+ Wasidoni+ na Wahiti,+

  • 1 Wakorintho 7:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Mke amefungwa wakati wote ambao mume wake yuko hai.+ Lakini mume wake akilala usingizi katika kifo, yeye yuko huru kuolewa na yeyote anayemtaka, katika Bwana tu.+

  • 2 Wakorintho 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki