Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na, tazama! tetemeko kubwa la nchi lilikuwa limetukia; kwa maana malaika wa Yehova alikuwa ameshuka kutoka mbinguni akakaribia na kuliviringisha jiwe, naye alikuwa ameketi juu yake.+

  • Yohana 1:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Akazidi kumwambia: “Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Mtaona mbingu imefunguliwa na malaika+ za Mungu wakipanda na kushuka mpaka kwa Mwana wa binadamu.”+

  • Waebrania 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Je, wao wote si roho+ kwa ajili ya utumishi wa watu wote,+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi+ wokovu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki