Mwanzo 24:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Akajibu akamwambia: “Mimi ni binti ya Bethueli+ mwana wa Milka, ambaye alimzalia Nahori.”+ Mwanzo 31:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Acha mungu wa Abrahamu+ na mungu wa Nahori+ ahukumu kati yetu, mungu wa baba yao.” Lakini Yakobo akaapa kwa Hofu ya baba yake Isaka.+
53 Acha mungu wa Abrahamu+ na mungu wa Nahori+ ahukumu kati yetu, mungu wa baba yao.” Lakini Yakobo akaapa kwa Hofu ya baba yake Isaka.+