Mwanzo 43:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kisha akawauliza hali yao na kusema:+ “Je, baba yenu, yule mzee mliyesema juu yake, anaendelea vema? Je, angali hai?”+ 1 Samweli 17:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mara moja Daudi akaiacha mizigo+ aliyokuwa nayo mkononi mwa mtunzaji wa mizigo,+ na kwenda mbio kwenye uwanja wa mapigano. Alipofika, akaanza kuuliza juu ya hali ya ndugu zake.+
27 Kisha akawauliza hali yao na kusema:+ “Je, baba yenu, yule mzee mliyesema juu yake, anaendelea vema? Je, angali hai?”+
22 Mara moja Daudi akaiacha mizigo+ aliyokuwa nayo mkononi mwa mtunzaji wa mizigo,+ na kwenda mbio kwenye uwanja wa mapigano. Alipofika, akaanza kuuliza juu ya hali ya ndugu zake.+