10 Na baba yake akaendelea kushuka mpaka kwa yule mwanamke, naye Samsoni akafanya karamu huko;+ kwa maana hivyo ndivyo vijana walivyokuwa na desturi ya kufanya.
9 Naye ananiambia: “Andika: Wenye furaha ni wale walioalikwa+ kwenye mlo wa jioni wa ndoa ya Mwana-Kondoo.”+ Pia, ananiambia: “Hayo ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.”+