Mwanzo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa Sarai, mke wa Abramu, hakuwa amemzalia watoto wowote;+ lakini alikuwa na mjakazi Mmisri na jina lake lilikuwa Hagari.+ Mwanzo 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lea alipoona kwamba ameacha kuzaa, akamchukua Zilpa mjakazi wake akampa Yakobo kuwa mke.+ Mwanzo 46:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hao ndio wana wa Zilpa,+ ambaye Labani alimpa binti yake Lea. Mwishowe akamzalia Yakobo hao: nafsi 16.
16 Sasa Sarai, mke wa Abramu, hakuwa amemzalia watoto wowote;+ lakini alikuwa na mjakazi Mmisri na jina lake lilikuwa Hagari.+
18 Hao ndio wana wa Zilpa,+ ambaye Labani alimpa binti yake Lea. Mwishowe akamzalia Yakobo hao: nafsi 16.