Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Naye Gadi, atavamiwa na kikundi cha waporaji, lakini yeye atavamia upande wa nyuma kabisa.+

  • Hesabu 32:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Basi Musa akawapa, yaani, wana wa Gadi+ na wana wa Rubeni+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu, ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, nchi ya majiji yake katika maeneo, na majiji ya nchi kuzunguka pande zote.

  • Ufunuo 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kutoka kabila la Yuda+ kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri;

      kutoka kabila la Rubeni+ kumi na mbili elfu;

      kutoka kabila la Gadi+ kumi na mbili elfu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki