Zaburi 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+ Luka 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imekubaliwa,+ na mke wako Elisabeti atamzaa mwana wako, nawe utamwita jina lake Yohana.+
13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imekubaliwa,+ na mke wako Elisabeti atamzaa mwana wako, nawe utamwita jina lake Yohana.+