Mwanzo 46:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na wana wa Zabuloni+ walikuwa Seredi na Eloni na Yahleeli.+ Mwanzo 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Zabuloni atakaa kando ya bahari,+ naye atakuwa kando ya bahari ambapo meli hukaa zikiwa zimetia nanga;+ na sehemu yake ya mbali itakuwa kuelekea Sidoni.+ Kumbukumbu la Torati 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akamwambia Zabuloni:+“Shangilia, Ee Zabuloni, kwa sababu ya kutoka kwako nje,+Na, Isakari, kwa sababu ya mahema yako.+ Ufunuo 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kutoka kabila la Zabuloni+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Yosefu+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Benyamini+ kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri.+
13 “Zabuloni atakaa kando ya bahari,+ naye atakuwa kando ya bahari ambapo meli hukaa zikiwa zimetia nanga;+ na sehemu yake ya mbali itakuwa kuelekea Sidoni.+
18 Naye akamwambia Zabuloni:+“Shangilia, Ee Zabuloni, kwa sababu ya kutoka kwako nje,+Na, Isakari, kwa sababu ya mahema yako.+
8 kutoka kabila la Zabuloni+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Yosefu+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Benyamini+ kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri.+