34 Mtasema, ‘Watumishi wako wamekuwa wafugaji sikuzote tangu ujana wetu mpaka sasa, sisi na pia mababu zetu,’+ ili mpate kuishi katika nchi ya Gosheni,+ kwa sababu kila mchungaji wa kondoo ni chukizo katika nchi ya Misri.”+
3 Kisha Farao akawauliza ndugu zake: “Mnafanya kazi gani?”+ Basi wakamwambia Farao: “Watumishi wako ni wachungaji wa kondoo,+ sisi na mababu zetu pia.”+