1 Samweli 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na sasa nimesikia kwamba una wakataji-manyoya. Sasa wachungaji wako walikuwa pamoja nasi.+ Hatukuwasumbua,+ wala hakuna chochote chao ambacho kilipotea siku zote walizokuwa katika Karmeli. Hosea 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Yakobo akakimbia kwenda katika nchi ya Siria,+ na Israeli+ akaendelea kutumikia apate mke,+ naye akalinda kondoo apate mke.+
7 Na sasa nimesikia kwamba una wakataji-manyoya. Sasa wachungaji wako walikuwa pamoja nasi.+ Hatukuwasumbua,+ wala hakuna chochote chao ambacho kilipotea siku zote walizokuwa katika Karmeli.
12 Na Yakobo akakimbia kwenda katika nchi ya Siria,+ na Israeli+ akaendelea kutumikia apate mke,+ naye akalinda kondoo apate mke.+