Hesabu 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisima, wakuu walikichimba. Watu wenye vyeo kati ya watu walikichimba,Kwa fimbo ya kiongozi,+ kwa fimbo zao wenyewe.” Kisha kutoka nyikani mpaka Matana. Zekaria 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami nililichunga kundi+ lililokusudiwa kuuawa,+ kwa ajili yenu, enyi wenye kuteseka wa kundi.+ Kwa hiyo nikajichukulia fimbo+ mbili. Moja nikaiita Uzuri,+ na ile nyingine nikaiita Muungano,+ nami nikaanza kulichunga kundi.
18 Kisima, wakuu walikichimba. Watu wenye vyeo kati ya watu walikichimba,Kwa fimbo ya kiongozi,+ kwa fimbo zao wenyewe.” Kisha kutoka nyikani mpaka Matana.
7 Nami nililichunga kundi+ lililokusudiwa kuuawa,+ kwa ajili yenu, enyi wenye kuteseka wa kundi.+ Kwa hiyo nikajichukulia fimbo+ mbili. Moja nikaiita Uzuri,+ na ile nyingine nikaiita Muungano,+ nami nikaanza kulichunga kundi.