18 Kwa hiyo Yakobo akaamka asubuhi na mapema, akachukua jiwe lililokuwa hapo kama kitu cha kutegemeza kichwa chake, naye akalisimamisha kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.+
14 Basi Yakobo akasimamisha nguzo katika mahali alipokuwa amesema naye,+ nguzo ya mawe, naye akamimina toleo la kinywaji juu yake na kumimina mafuta juu yake.+