8 Ndipo yeye akasema: “Unamaanisha nini kwa kambi yote hii ya wasafiri ambao nimekutana nao?”+ Naye akajibu, akasema: “Kusudi nipate kibali machoni pa bwana wangu.”+
16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+