Mwanzo 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo yeye akasema: “Unamaanisha nini kwa kambi yote hii ya wasafiri ambao nimekutana nao?”+ Naye akajibu, akasema: “Kusudi nipate kibali machoni pa bwana wangu.”+ Luka 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ikiwa, kwa kweli, hawezi kufanya hivyo, basi yule akiwa bado yuko mbali sana huyu hutuma nje baraza la mabalozi na kuomba amani.+
8 Ndipo yeye akasema: “Unamaanisha nini kwa kambi yote hii ya wasafiri ambao nimekutana nao?”+ Naye akajibu, akasema: “Kusudi nipate kibali machoni pa bwana wangu.”+
32 Ikiwa, kwa kweli, hawezi kufanya hivyo, basi yule akiwa bado yuko mbali sana huyu hutuma nje baraza la mabalozi na kuomba amani.+