16 Na Warubeni+ na Wagadi nimewapa kutoka Gileadi+ hadi kwenye bonde la mto la Arnoni, mpaka ukiwa ni katikati ya lile bonde la mto, hadi Yaboki, lile bonde la mto lililo mpakani mwa wana wa Amoni;+
13 Basi mfalme wa wana wa Amoni akawaambia wale wajumbe wa Yeftha: “Ni kwa sababu Israeli walichukua nchi yangu walipopanda kutoka Misri,+ kuanzia Arnoni+ mpaka Yaboki na mpaka Yordani.+ Basi sasa irudishe kwa amani.”