14 Basi Abramu akasikia kwamba ndugu yake amechukuliwa mateka.+ Kwa hiyo akakusanya watu wake waliozoezwa,+ watumwa mia tatu kumi na wanane waliozaliwa nyumbani mwake,+ akawafuatilia mpaka Dani.+
6 Baada ya muda hao wajumbe wakarudi kwa Yakobo, wakisema: “Tulifika kwa ndugu yako Esau, naye pia yuko njiani akija kukupokea, na pamoja naye wanaume mia nne.”+