11 Nakuomba,+ unikomboe kutoka katika mkono wa ndugu yangu, kutoka katika mkono wa Esau, kwa sababu mimi ninaogopa kwamba huenda akaja na kunishambulia,+ mama pamoja na watoto.
20 Nanyi pia mnapaswa kusema, ‘Tazama, mtumishi wako Yakobo yuko nyuma yetu.’”+ Kwa maana alisema moyoni mwake: “Huenda nikamtuliza kwa zawadi inayoenda mbele yangu,+ na baadaye mimi nitaona uso wake. Labda atanipokea kwa fadhili.”+