Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kutoka kwa mataifa ambayo Yehova alikuwa amewaambia wana wa Israeli: “Msiingie kati yao,+ nao wasije kati yenu; kwa hakika watageuza moyo wenu uifuate miungu yao.”+ Hao ndio Sulemani alishikamana+ nao na kuwapenda.

  • 1 Wakorintho 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Msipotoshwe. Mashirika mabaya huharibu tabia nzuri.+

  • 2 Wakorintho 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki