Mwanzo 37:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Baada ya muda, Israeli akamwambia Yosefu: “Je, ndugu zako hawachungi makundi karibu na Shekemu? Njoo, nikutume kwao.” Basi akamjibu, akamwambia: “Mimi hapa!”+
13 Baada ya muda, Israeli akamwambia Yosefu: “Je, ndugu zako hawachungi makundi karibu na Shekemu? Njoo, nikutume kwao.” Basi akamjibu, akamwambia: “Mimi hapa!”+