12 “Lakini mkirudi nyuma kwa vyovyote+ na kushikamana na mabaki ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi, na kufanya nao mapatano ya ndoa+ na kuingia katikati yao, nao wakiingia katikati yenu,
14 je, tena tuanze kuvunja sheria zako kwa kufanya mapatano ya ndoa+ na watu wa machukizo haya?+ Je, hutatukasirikia mpaka mwisho,+ hata kusiwe na yeyote anayebaki+ wala yeyote anayeponyoka?