34 Nanyi mkamlete ndugu yenu mdogo, ili nijue kwamba ninyi si wapelelezi bali ni watu wanyoofu. Nitawarudishia ndugu yenu, nanyi mnaweza kufanya biashara yenu nchini.’”+
15 “Mwishowe aliporudi baada ya kupata mamlaka ya kifalme aliamuru watumwa hao ambao alikuwa amewapa fedha waitwe, ili ahakikishe kile walichokuwa wamepata faida kwa biashara.+