Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi, Efroni alikuwa amekaa kati ya wana wa Hethi. Kwa hiyo Efroni Mhiti+ akamjibu Abrahamu masikioni mwa wana wa Hethi pamoja na wale wote waliokuwa wakiingia lango la jiji, akisema:+

  • Ruthu 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye Boazi akaenda langoni+ na kuketi hapo. Na, tazama! yule mkombozi ambaye Boazi alikuwa amemtaja+ alikuwa akipita. Basi akasema: “Njoo, keti hapa, Fulani wa Fulani.” Basi akaja na kuketi.

  • Zekaria 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “ ‘Haya ndiyo mambo ambayo mnapaswa kufanya:+ Semeni ukweli kila mtu na mwenzake.+ Hukumuni kwa hukumu ya kweli na ya amani malangoni mwenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki