10 Basi, Efroni alikuwa amekaa kati ya wana wa Hethi. Kwa hiyo Efroni Mhiti+ akamjibu Abrahamu masikioni mwa wana wa Hethi pamoja na wale wote waliokuwa wakiingia lango la jiji, akisema:+
4Naye Boazi akaenda langoni+ na kuketi hapo. Na, tazama! yule mkombozi ambaye Boazi alikuwa amemtaja+ alikuwa akipita. Basi akasema: “Njoo, keti hapa, Fulani wa Fulani.” Basi akaja na kuketi.