20 Ndipo Yakobo akaweka nadhiri,+ akisema: “Mungu akiendelea kuwa pamoja nami na kwa hakika anitunze katika njia hii ninayoiendea na kunipa mkate wa kula na mavazi ya kuvaa+
42 Kama Mungu wa baba yangu,+ Mungu wa Abrahamu na aliye Hofu ya Isaka,+ hangekuwa upande wangu, wewe ungeniacha sasa niende zangu nikiwa mikono mitupu. Taabu na kazi ya mikono yangu Mungu ameona, na kwa hiyo akakukaripia usiku uliopita.”+
2 Ukipita katikati ya maji,+ nitakuwa pamoja nawe;+ na katikati ya mito, haitafurika juu yako.+ Ukitembea katikati ya moto, hutaungua, wala mwali wa moto hautakuchoma.+