Waamuzi 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi ikawa kwamba, mwali wa moto ulipokuwa ukipaa kutoka katika madhabahu kuelekea mbinguni, malaika wa Yehova akapaa katika ule mwali wa madhabahu huku Manoa na mke wake wakitazama.+ Wakaanguka kifudifudi mara moja.+ Luka 24:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo macho yao yakafunguliwa kikamili nao wakamtambua; naye akatoweka kutoka kwao.+
20 Basi ikawa kwamba, mwali wa moto ulipokuwa ukipaa kutoka katika madhabahu kuelekea mbinguni, malaika wa Yehova akapaa katika ule mwali wa madhabahu huku Manoa na mke wake wakitazama.+ Wakaanguka kifudifudi mara moja.+