7 Nami, nilipokuwa nikija kutoka Padani,+ Raheli alikufa+ kando yangu njiani katika nchi ya Kanaani wakati kulipokuwa kungali mwendo mkubwa kabla ya kufika Efrathi,+ basi nikamzika huko kwenye njia ya kwenda Efrathi, yaani, Bethlehemu.”+
2 “Nawe, Ee Bethlehemu Efratha,+ wewe uliye mdogo sana kuwa kati ya maelfu ya Yuda,+ kutoka kwako+ atanijia yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli,+ ambaye asili yake ni kutoka nyakati za kale, kutoka siku za wakati usio na kipimo.+
6 ‘Nawe, Ee Bethlehemu+ ya nchi ya Yuda, wewe si jiji dogo zaidi kati ya magavana wa Yuda; kwa maana kutoka kwako wewe atakuja mwenye kuongoza,+ atakayewachunga+ watu wangu, Israeli.’ ”