Mwanzo 30:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi akamwita jina lake Yosefu,+ akisema: “Yehova ananiongezea mwana mwingine.” 1 Samweli 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na karibu na wakati wa kifo chake, wanawake waliokuwa wamesimama kando yake wakaanza kusema: “Usiogope, kwa maana umezaa mwana.”+ Naye hakujibu wala kuweka moyo wake juu ya maneno hayo.
20 Na karibu na wakati wa kifo chake, wanawake waliokuwa wamesimama kando yake wakaanza kusema: “Usiogope, kwa maana umezaa mwana.”+ Naye hakujibu wala kuweka moyo wake juu ya maneno hayo.