1 Mambo ya Nyakati 1:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 shehe Kenasi, shehe Temani, shehe Mibsari,+ Ayubu 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye Elifazi+ Mtemani akajibu, akasema: Yeremia 49:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo sikieni shauri la Yehova ambalo ametunga juu ya Edomu,+ na mawazo yake ambayo amefikiri juu ya wakaaji wa Temani:+ Hakika wadogo wa kundi watakokotwa huku na huku. Hakika kwa sababu yao atayafanya makao yao kuwa ukiwa.+
4 Naye Elifazi+ Mtemani akajibu, akasema: Yeremia 49:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo sikieni shauri la Yehova ambalo ametunga juu ya Edomu,+ na mawazo yake ambayo amefikiri juu ya wakaaji wa Temani:+ Hakika wadogo wa kundi watakokotwa huku na huku. Hakika kwa sababu yao atayafanya makao yao kuwa ukiwa.+
20 Kwa hiyo sikieni shauri la Yehova ambalo ametunga juu ya Edomu,+ na mawazo yake ambayo amefikiri juu ya wakaaji wa Temani:+ Hakika wadogo wa kundi watakokotwa huku na huku. Hakika kwa sababu yao atayafanya makao yao kuwa ukiwa.+